Kama wewe ni Mtu wa Imani sana nakushauri usifanye Biashara.
Ni vigumu mfanyabiashara Kuiona Pepo [emoji24]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mimi ni wakala mkuu wa halopesa, unahitajika TIN, na kitambulisho (unapiga picha unanitumia WhatsApp 0718120763)na usajili laini ya halotel kisha iwekee halopesa Tsh 100,000 ambao ni mtaji kianzio kisha nakuwezesha
Kwa uzoefu wangu hakuna njia ya moja kwa moja kwa kutumia simu ya uwakala kufanya malipo hayo, hayo ufanyika kwa kutumia uwakala wa kibank(mashine) au machine ya selcom
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.