Recent content by Richard mtao

  1. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Point kubwa sana hii
  2. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Taharuki mwaka wa uchaguzi Mkuu

    Habari wanajamvi. Leo nimeona ni vyema tujumbushane fujo la vurugu za mwaka wa uchaguzi. Mambo huwa ni mengi sana yanayofikirisha na yanayozua maswali mengi yasiyokuwa na majibu. Rai yangu kwa watanzania wenzangu wote, tusiingie kwenye mtego wa wanasiasa, wao kama wanataka kuzuia au kukinukisha...
  3. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Okay, mimi nadhani next time jitahdi kubeba oG. Maana Hawa jamaa wanatafutaga penye dosari ili watusurubu vzr
  4. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Hahahaha, tupe experience mkuu
  5. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Hapa kuna vitu nimenote. 1.upendeleo 2. Yawezekana sheria na taratibu aidha hawazijui au wanavunja kwa maksudi. 3. Wewe pia kuna ka uzembe ulikuwa nako,maana najua interview wanatangazaga kuna mda wa kutosha kuandaa documents zote mkubwa
  6. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Hapa nadhani kuna kazi kubwa waajiri na serikali wanatakiwa kuifanya. Maana kwa uelewa wangu mdogo Hr anapaswa kuwa kimbilio la watumishi
  7. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Maafisa Utumishi na roho ya korosho!

    Hellow jamii, ni matumaini yangu mko poa na wazima wa afya njema sana. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwajili ya hilo. Guys, katika pita pita zangu vyuoni na taasisi mbalimbali nimekuwa nikiiskia hii kauli " MAAFISA UTUMISHI WANA ROHO MBAYA SANA" na hawaishii hapo wanaenda mbali kwa kutoa shuhuda...
  8. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Mikosi katika familia na utatuzi wake

    Sawa Anna
  9. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Mikosi katika familia na utatuzi wake

    Ukorofi😆
  10. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Mikosi katika familia na utatuzi wake

    Hellow JF. Leo nimeamua kukusogezea hili, Ivi sasa familia nyingi sana zimekuwa zikipitia mazingira magumu sana ya kuhangaika,kuteseka,masimango,mates na Madhira mengi saana. Wengi wanaishia kupambana na changamoto hizo bila mafanikio na wengine wanaishia kufurukuta Kadri wawezavyo lakini...
  11. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Umahiri katika sayansi ya jamii

    Nimekusoma mzee
  12. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Umahiri katika sayansi ya jamii

    Habari wanajamvi. Leo nimewaza sana na kujiuliza sana umuhimu wa waliobobea katika sayansi ya jamiii wako wapi? Na mchango wao katika jamii ni upi? Sisemi kwamba hawa wataalamu hawajafanya chochote hapana, lakini kwanini Kuna matatizo sugu ambayo wanaweza kuyashughulikia lakini mpaka leo yapo...
  13. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

    Sawa Tajiri👍
  14. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

    Ebu Naomba tafsiri ya Tajiri au Maskini? UKijibu hayo maswali kwa usahihi basi ntakubaliana nawewe kikamilifu
Back
Top Bottom