Recent content by rich73

  1. rich73

    Inahitajika suzuki carry haraka.

    Bukoba boy nini kinakushangaza hapo?
  2. rich73

    Inahitajika suzuki carry haraka.

    Inahitajika suzuki carry model kuanzia mwaka 99 na kuendelea, iwe katika hali nzuri. Bajeti isizidi 5m, nipo morogoro. nicheki pm kama unayo.
  3. rich73

    nauza saa yenye uwezo wa kurekodi video, sound, na kupiga picha

    Nauza saa yenye uwezo wa kupiga picha still na moving pamoja na kurekodi sauti. memory ni 8 gb. Bei ni USD 200. Any one who need it just PM me.
  4. rich73

    Natafuta kiwanja morogoro mjini

    Natafuta kiwanja morogoro mjini iwe Kihonda, Bigwa, Mazimbu au Kilakala. Ukubwa mita 40X30, kiwe na hati kabisa.
  5. rich73

    Natafuta mchumba wa kuoa

    karibu.
  6. rich73

    Natafuta mchumba wa kuoa

    Awe na kati ya miaka 22 to 25
  7. rich73

    Natafuta mchumba wa kuoa

    Awe mcha Mungu na mwenye tabia njema. Aliye siriazi anicheki PM.
  8. rich73

    Ushauri, barua iliyochapwa ya kuomba kazi sijaweka sahihi

    Unaweza ukatuma tena kama deadline bado.
  9. rich73

    Kuongeza chaneli kwenye ving'amuzi

    Hivi eti inawezekana kuongeza chaneli ambazo hazipo kabisa kwenye king'amuzi. Mfano mie natumia ZUKU ila haina star tv wala super sport, Je nazipataje hizi chaneli?
  10. rich73

    Hisia za wanawake

    Hivi naomba niulize kitu. Kuna kipindi huwa inatokea akiingia demu mzuri au hata wa kawaida tu mahali fulani, utakuta midume inammezea mate. Hivi hisia hizi na wanawake wanakuwaga nazo kweli kwa maana kuwamezea mate wanaume hasa mahendsam kama mimi?
  11. rich73

    Halmashauri kuanza kuajiri

    kwani hawachukui degree holders?
  12. rich73

    Halmashauri kuanza kuajiri

    Jamani eti nasikia Halmashauri na Manispaa zitaanza mfumo wa kuajiri wenyewe bila kupitia Utumishi. Hebu wanaofahamu watudokezee inakuaje hapa?
  13. rich73

    Nisaidieni wakuu nafasi ya kuvoluntier

    Komaa tu utapata. Jitahidi uwe unazunguka mwenyewe kuliko kusubiri kuunganishiwa utasubiri sana. Nakuhakikishia ukizunguka ndani ya mwezi mmoja tu utapata.
  14. rich73

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    Pitia material ya mambo yanayohusu fani hiyo, ishu za IT n.k, pia wanaweza kutoa maswali ya kutumia akili tu. Ila hakikisha unapiga msuli. Pia mtangulize Mungu na uone kwamba nafasi hiyo ni yako. Nakutakia kila la kheri.
  15. rich73

    Interview NMB

    hongera. kwani intaview ilikuaje? waliuliza maswali gani?
Back
Top Bottom