Wakat fulan huwa napata shida sana kumshauri mtu ambaye tayari anamaamzi yake kichwan au anaamini ktk nadharia fulan, mfano huyu mama tayar anamaamzi yake tayar na anaamin kuwa huko nje ya ndoa atapata faraja so wht d matter, mama yangu nakukumbusha kuwa kumbuka una watt tayarwanahitaj malez...
kaka we oa umri co ktu sana labda km angekuwa bonge lakin so long as co bonge oa tu, kuzeeka walkuwa wanazeeka fasta mama zetu waliokuwa wanafanya kazi nying za kulima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.