Recent content by Rhoda Lukumay

  1. R

    Kwanini Viongozi wengi wakiwa wanahutubia mbele ya Rais Magufuli huwa hawajiamini na wanatetemeka ila huyu pekee huwa anajiamini sana?

    Mkuu nimeangalia kwa upande wao navyowaona tu wakati wanapoongea na JPM ...sio pengine si unajua kila shetani na mbuyu wake ...hata JPM nae kuna watu akiongea nao anatetemeka ....mfano JPM anamtetemekea sana MKAPA ..
  2. R

    Nilichojifunza kupitia msiba wa Kanali Albert Mbowe

    mkuu maandiko yanatuhasa kutenda wema kwa maadui zetu
  3. R

    Nilichojifunza kupitia msiba wa Kanali Albert Mbowe

    Hahahahaha mkuu ni akili zako kweli....au mwezi agost umeanza vby
  4. R

    Kwanini Viongozi wengi wakiwa wanahutubia mbele ya Rais Magufuli huwa hawajiamini na wanatetemeka ila huyu pekee huwa anajiamini sana?

    Mfugale anajiamini anajua kazi yake vizuri ...mbaya zaidi Mfugale amefanya kazi na Magu katika wizara hiyo dhaidi ya miaka 20 .lakini sio Mfugale tu anaeongea kwa Magu anajiamini ..kuna Makonda...CDF Mabeyo..LUOGA..Majaliwa ...
  5. R

    Nilichojifunza kupitia msiba wa Kanali Albert Mbowe

    Mkuu ambacho hujui nini ? Marehemu alikuwa ni meja jenerali cheo cha ngazi ya mwisho kbs katka majeshi yetu...Rais ni amri jeshi mkuu wa majeshi ya kiulinzi...cheo hicho alichofariki nacho Ndg yake na mwenyekit wa chadema walionacho ni wachache sana ...hivo hata angekua adui yake Magu ...Magu...
  6. R

    Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura 2019/2020

    ratiba ipo kiongozi ingia kwenye website ya nec...hata hivyo tarehe 8 .8.2019 wanaenda shy na mwanza ...kwa sasa ni manyara ...simiyu na mara.
  7. R

    Kampeni ya kuikataa Vodacom

    Umeeleweka vizuri kwa vile vodacom ina wateja wengi kuliko makampuni mengi ya simu...udukuzi sio tu kwamba ni virus kwa wateja ila pia ni risk kubwa kwa kampuni kupoteza wateja....ila wakisikia wasikie wasiposikia wasisikie ...ila picha kwenye anvatar wakiona watapuuza ..
Back
Top Bottom