Hii ni dalili ya chombo kwenda mrama!!
sitashangaa kuona tangazo likiwa nilinasema
added advantage
Wale wa Kaskazini, wake zetu, dada na wachungaji watepewa first priority!!!
Chadomo mnafurahisha sna!!! Mnatoa tamko, mnazurura nchi nzima kutengeneza posho pesa za Donor tamu sana.
hivi kilichosomwa na msigwa kilikua ni bajeti ama makala ndefu hivi!!! hivi bajeti inapaswa kuwa features gani?
inatoa mwelekeo wowote wa kimatumizi ama lawama tu na kupakana Matope pasipo shaka makala zao ni vijembe lakini wakirushiwa wao ni shutuma.
tuwe wa kweli Bajeti kivuli imejaa...
Waandishi wetu wamekengeuka siku hizi hawana maadili ya kazi zao wamekua wakinunuliwa na wanasiasa , wanharakati kwa manufaa binafsi na sasa wasahau hata zile basic za uandishi wa habari( 5W&H) wamekua wahandiasi badala ya waandishi wa habari, wamekua chanzo kikukubwa cha mmomonyoko wa maadili...
Nimapema sana kufanya kusema lakin jinsi upepo unavyokwenda ninaona hatakua na ubavu hata mbawa za kuruka
kusema sio kutenda na kutenda kunahitaji mipango ambayo CDM kwa sasa hatuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.