Nyumba iko kwenye lenta inauzwa buyuni chanika karibu na nyumba za pspf. Specification zake ni 4 bedrooms, 3 bathrooms, jiko, stoo, dinning na kiwanja 35*35.kwa mawasiliano piga 0654510452. Bei milioni 20.
Nauza kiwanja na nyumba ya vyumba vinne iko kwenye lenta. Iko chanika buyuni karibu na nyumba za pspf. Kiwanja size 35*35. Karibuni. Specification za nyumba ni 4 bedrooms, 3 bathrooms, big sitting room, dinning, kitchen, study room na space kubwa nje. Bei Maelewano.
Tatizo watu hatupendi kuambiwa ukweli sasa wewe ina maana unaenda SUA kusoma BVM ili ufanye kazi bank? Sio kweli yaani hapo mtu unakosa kazi kwenye field yako ndio unafanya chochote.Masoud alikuwa na maana nzuri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.