Recent content by Reyhana

  1. R

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Hahahaaaaaa ni kweli kabisa
  2. R

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, Namtabiria ‪anguko‬ kubwa ambalo hatutakaa tulisahau

    maneno yako yako juu ya mstari, maneno yako yako juu ya mstari.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, Namtabiria ‪anguko‬ kubwa ambalo hatutakaa tulisahau

    Ni sawa sawa unavosema, mtu haombewi anajiombea mwenyewe.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Baada ya kumaliza "probation ya miezi 6" unaonaje utawala wa Magufuli?

    Kama ni bado anajifunza aache kujifanya kama anajua kila kitu, Magufuli ni mtaalamu wa 'science' sio 'Law' ache kujitia kimbele mbele na ku act kama ana elimu ya uwana sheria. Afuate utaratibu wa sheria na utawala bora sio maguvu na mabavu hayatamfikisha popote shenzi huyu.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nimetishwa, kushitushwa na kuogopeshwa na kauli hii ya Rais Magufuli. Alimaanisha nini?

    Wanyonge gani anaowatetea, au anachagua tu wa kutetea, kama ni mwanamme kweli au anapenda haki asingeshusha majeshi kwenda kuhujumu watu wasio na hatia Zanzibar. hiyo kujionesha kwake kama ni mtu anaepigania haki za wanyonge atawadanganya wazembe wasiolewa. Angesimami haki Zanzibar tungejua ni...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Tanganyika haihitaji Zanzibar na haiitegemei kwa chochote

    ni kweli hapo Kazi tu.:eek:
  7. R

    JamiiForums Tanzania Tanganyika haihitaji Zanzibar na haiitegemei kwa chochote

    Kaka ungeenda kujifundisha kuandika/ kusema kiswahili kwanza. (Hakili? Kualibu?)
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tanganyika haihitaji Zanzibar na haiitegemei kwa chochote

    Kama hamna faida yeyote si waiachie? yani shida tupu wa Tanganyika wametukaa kifuani hata kupumua hatuwezi, kweli hawafaidiki kabisaaa na watuachilie nchi yetu jamani tumechoka kutawaliwa.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Tanganyika haihitaji Zanzibar na haiitegemei kwa chochote

    Naona ni Bara, Majority ya wazanzibari hatuutaki maana hauna faida na sisi Zaidi ya kutukandamiza na kutuweka chini ya mkoloni mweusi.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

    Sungura akikosa Zabibu husema chungu, kali n.k
  11. R

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Hahahaaaa nakubaliana na wewe
  12. R

    JamiiForums Tanzania Kisiwani Pemba hali yazidi kuchafuka: Polisi na Majeshi yazidi kumiminika

    Uliona matusi haya tu ? Hujaona alioandika Sijawahi kutukana, lakini mtu akinitukana nitajibu tu. Kila mtu aweke heshima. anaetaka kuheshimiwa ni lazima ajiheshimu kwanza.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kisiwani Pemba hali yazidi kuchafuka: Polisi na Majeshi yazidi kumiminika

    That's what I though, You have no balls mdomo tu mwingi shenzi.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Rais Shein amteua Bw. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu

    You wish, lakini mliikuta ni nchi na mtaiwacha ni nchi. Keep dreaming. Labda mtuuwe sote ndio mtaifanya mkoa.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume nyani haoni kundule, kaa kimya

    Wafahamishe hawa vifuu tundu
Back
Top Bottom