Habari wanajukwaa,
Mimi ni kijana niliyeomba ajira utumishi kupitia Dirisha la ajira za utumishi (Ajira portal). Mpaka sijajua ni lini watatoa short list yao.
Lakini cha kushangaza kuingia kwenye wavuti ya taasisi niliyoomba (MoCu) nimeona majina ya watu kuitwa kwenye interview. Na ukiangalia...
Hakuna msg ngumu kujibu kama hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa sababu kuna majibu matatu;
1. Kublockiwa usipo tuma
2. Kutukanwa
3. Kufanikisha kama ukituma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.