Recent content by Revolution 22

  1. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Gari yangu haipandishi mshale wa speed na feni ya rejejeta haizunguki

    Wakuu habari Gari yangu haipandishi mshale wa speed ukiendesha pamoja na feni ya reheat haizunguki hivy kupelekea Gari kuchemsha shida inaweza kuwa nn? NB tatzo limeanza jioni hii wakati natoka job
  2. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Je, huu ni mlio sahihi kwenye engine?

    Mamb vp wakuu Gari yangu inamlio Kama siuelewi hivi nahisi Kama engine Haitoi mlio sahihi Kama nilivyoambatanisha kwenye video hapo
  3. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Kwa nn mkuu Mbn nainjoy nako sana hasa kwenye swala la mafuta
  4. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Shukran mkuu
  5. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    J4 naliamsha moshi to moro,Natulia pale town kesho yake naunga kilombero niko na kiberiti changu Toyota ist cc 1290
  6. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

    Ngoja nimtafute aise
  7. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

    Shukran mkuu ngoja nilifanyie kazi hili
  8. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

    Overhaul ya Toyota ist yenye engine ya 2nz inaweza kuwa bei gan mkuu
  9. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

    Nimebadilisha plug juz tu mkuu ikatulia kama cku mbili tatzo limerud tena
  10. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuishiwa nguvu kwenye milima

    Wakuu mambo vp? Poleni na hongeren mnaondelea na mfungo, kwa wenye ufahamu na hlii gari yangu ni toyata IST cc 1290 imekuwa ikiishiwa nguvu na kuchelewq kubadilisha gia hasa nikiwa kwenye muinuko hata wakawaida,lakini pia nikiweka gia ya nyuma bado inakuwq nzito kuchanganya shida inaweza kuwa...
  11. Revolution 22

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

    Bila picha mkuu kutoa maoni ngumu
  12. Revolution 22

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

    Kweli mkuu punguza ngono,si umeskia trump anajitoa WHO ARV zitakuwa adimu
Back
Top Bottom