Sio kweli kabisa. Wanaume wengi pia wako sereous ila tatizo nililo gundua wadada wengi wanahitaji wanaume wenye umli miaka 33 and above ambavyo kwa kawaida kwa vijana kama mimi wenye umli pungufu ya hapo tunakoswa sifa na kujiweka pembeni na hivyo kuwafanya wale wasio kua wastaarabu kuanza kutoa...
Kwa mtu anae hitaji kuku na mayai ya kuku wa kienyeji wasiliana nami kwa namba 0756868912
bei yao kwa mtu anae chukua kuanzia kuku 20 ni shilingi 10000/= kwa kila mmoja wana umli usiopungua miezi sita kwa wote kwa anae wahitaji na aliepo jijini dar es salaam tuwasiliane
Ninauza kiwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 45
Bei ni milioni 3000,000/= milioni tatu tu
Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0753868912
Au kwa email address
revocatusjulius93@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.