Recent content by revocatus.julius0

  1. revocatus.julius0

    Mwigulu Nchemba: Aliyemtisha Nape kwa bastola sio Polisi. Uchunguzi wa Lissu kushambuliwa unaendelea, tutatoa taarifa

    Yule bwana hakua asikali alikua mtu asiye julikana na ile haikua bastola ilikua ni manati tu
  2. revocatus.julius0

    humu ndani hakuna wa kuoa kabisa

    Sio kweli kabisa. Wanaume wengi pia wako sereous ila tatizo nililo gundua wadada wengi wanahitaji wanaume wenye umli miaka 33 and above ambavyo kwa kawaida kwa vijana kama mimi wenye umli pungufu ya hapo tunakoswa sifa na kujiweka pembeni na hivyo kuwafanya wale wasio kua wastaarabu kuanza kutoa...
  3. revocatus.julius0

    Naamini mume anapatikana popote..basi nam natafuta mume ishaalah...

    Soma kwanza binti. Achana na mapenzi
  4. revocatus.julius0

    Naombeni mnisaidie kwa hili.

    Acha uhuni kijana wewe ni mwanafunzi unapaswa kusoma kwanza ukimaliza mapenzi yatafuata
  5. revocatus.julius0

    Kuku wa kienyeji wanauzwa

    Kwa mtu anae hitaji kuku na mayai ya kuku wa kienyeji wasiliana nami kwa namba 0756868912 bei yao kwa mtu anae chukua kuanzia kuku 20 ni shilingi 10000/= kwa kila mmoja wana umli usiopungua miezi sita kwa wote kwa anae wahitaji na aliepo jijini dar es salaam tuwasiliane
  6. revocatus.julius0

    Mwanaume aliye serious please.

    0753868912
  7. revocatus.julius0

    Kiwanja kinauzwa kipo Mbane karibu na shule ya Upeo English Medium

    Ninauza kiwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 45 Bei ni milioni 3000,000/= milioni tatu tu Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0753868912 Au kwa email address revocatusjulius93@gmail.com
  8. revocatus.julius0

    Mimi ni mdada natafuta mchumba

    Hebu nicheki revocatusjulius93@gmail.com
  9. revocatus.julius0

    kwa aliyetayari kua mume wangu

    Hauna lolote
  10. revocatus.julius0

    Wanaume mko wapi?

    Sisi tupo ila tatizo tukikutumia meseji unaanza kutuzingua
  11. revocatus.julius0

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    Unaishi wapi?
Back
Top Bottom