Recent content by Rev. Mkenda

  1. R

    Natafuta shamba la kununua maeneo ya Kibaha

    Lipo chanika 6 acres. Contct 0712340953
  2. R

    Hizi imani zetu zilipofikia sasa ni upumbavu

    Mchungaji wa kweli hawezi kufanya mambo ya namna hiyo hata kidogo. Hakuna maandiko ktk biblia yanayoruhusu uhuni huu. NEVER!!!
  3. R

    Nimetapeli watu wengi sana, nimechoka na uganga feki nahitaji kuacha

    Achana na huo uganga, mrudie Mungu atakusamehe na kukutakasa kabisa. Kama unamaanisha soma maandiko haya yatakusaidia Isaya 43:25, Zaburi 103:12, Warumi 10:9-10, 2Kor5:17, Isaya 1:18-19, Matayo 1:21
  4. R

    Naweza kumuoa huyu?

    Ndugu achana na huyu mke wa mtu. Hata kama hajatambulishwa si mke wako. Muombe Mungu akupe mke wako ambaye ni mwaminifu na mtiifu ambaye mtakuwa pmj mpaka kifo kiwatenganishe. Mungu akubariki.
  5. R

    Je, Mungu anaweza kukupa mke mwingine iwapo tayari una ndoa ya Kikristo?

    Ndugu yangu pole sana. Suala la ndoa ni la watu wawili yaani mke na mume wa tatu ni Mungu. Watumishi wa Mungu sisi kazi yetu ni kufungisha (officiate) na hayo mamlaka tumepewa na Mungu na Serilali Jamhuri ya Muungana wa Tanzania. Sasa suala la kuona mke sahihi au si sahihi si kazi ya mchungaji...
  6. R

    Kuna tatizo gani uchaguzi usifanyike Jumapili?

    Kila dhehebu lina utaratibu wake ambao hautaathiri shughuli za uchaguzi. Kwa ushauri wangu ni kila dhehebu liangalie utaratibu mzuri ambao hautawanyima watanzania haki yao ya kikatiba. Ni suala la ndani zaidi. Pia suala la kuombea uchaguzi halitakiwi kuwa la siku bali hili tumeanza kuliombea...
Back
Top Bottom