Recent content by REUBBY

  1. REUBBY

    Kutuma maombi diploma na Certificate kwa form4 waliomaliza 2016

    Msaada, applications diploma na Certificate kwa form 4 waliomaliza mwaka2016 zinaanza lini?
  2. REUBBY

    Riwaya: Najisikia kuua tena

    Daah kweli bhana haipo
  3. REUBBY

    transfer transfer transfer !!!!

    swala la mkopo kuwahi au kuchelewa linatoka na uwahishwaji wa mkopo wako kutoka chuo ulichopangiwa kurudi HESLB, ufatiliaji wa chuo na bahati pia ya mtu binafis
  4. REUBBY

    transfer transfer transfer !!!!

    mabadiliko gani?? kwani mwaka jana watu walihamishwa na nani kama sio TCU.
  5. REUBBY

    Hela ya kujikimu kwa waliofanya transfer

    bora wangesemaga mtu angefanya anajua ""ila kama ulivo sema kunawachache wameshata"""
  6. REUBBY

    Hela ya kujikimu kwa waliofanya transfer

    Msaada kwa anae jua bum linatoka lini kwa waliofanya transfer """allocation ilishatoka tangia mwaka jana mwezi wa 11 kabla first year hawajapata bum la kwanza ila mpaka saiv wamepata la pili huku transfer hata la kwanza bado"
  7. REUBBY

    Tuliofanikiwa kupata transfer za TCU

    hivi unafikiri wote ni vichwa panzi kama wewe? eti uta disco!!! teh teh teh teh
  8. REUBBY

    Tuliofanikiwa kupata transfer za TCU

    ulkuwa umetma transfer to medical au"" na vp majna yalyo toka ya wale wa medical haukubahatka kuliona lako?
  9. REUBBY

    Tuliofanikiwa kupata transfer za TCU

    ww mchapafito cjawah kuona umemjbu mtu kistaarabu ''nawasi wasi xana na IQ yako"" mm nmeuliza mtu anaweza kwnda kurpot alipohamishiwa au bado knautaratbu mwngne""" labda ww ulitaka niulze vp? au hum ndan cku hiz mtu huruhusiw kuuliza?????
  10. REUBBY

    Tuliofanikiwa kupata transfer za TCU

    Jaman kwa ambao tmepata transfer na tulikuwa hatujafanya registration kweny vyuo vya mwanzo baada ya kulipa transfer fees yao kwa usahihi hiv tunaenda moja kwa moja kwenye vyuo tulivyo hamishiwa kufanya usajili au kuna utaratbu mwingine unafata?? Mwenye uelewa atujuze
  11. REUBBY

    Transfer TCU leo jioni

    vipi jaman kuhusu mkopo wetu make ulikuwa ushapelekwa kweny vyuo vya mwanzo ""itachukua mda gan kuuhamisha?
  12. REUBBY

    Transfer TCU leo jioni

    mwnye majna atsaidie kuyeka hapa ili tuone
  13. REUBBY

    Transfer TCU leo jioni

    sasa kama chuo kshakukubali na wakupa barua ya kuwapelekea tcu hapo tiar
  14. REUBBY

    Transfer TCU leo jioni

    duh!!!hapo ww nahc chance unayo tlioptia kule kwny system yao ndo tupo kwny hat hat
  15. REUBBY

    Transfer TCU leo jioni

    mkuu waulze kwaatakae bahatka kuhama lazma afke kwny chuo chake cha mwanzo au anaenda moja kwa moja alipo hamishiwa!
Back
Top Bottom