Hakuna chochote cha maana kilichojadiliwa hapa, uzi mrefu kilichojadiliwa eti mtoto kupata div 4. Kwani yeye ndiyo wa kwanza au hao wengine ndio wa kwanza. Acheni mambo hayo nchi ina mambo mengi ya kujadili. Siyo maswala ya kilaza au Div 4. Kwani wate waliofanikiwa katika maisha wana Div 1....?
Nimegudua Hakuna mtu hata mmoja mwenye source ya uhakika. kila mtu anakurupuka kinyake. Sheria ya mtandao ikisimamiwa vizuri nauhakika humu ndani tunaki wachache. Haingii akiri mtu anasema hivi harafu huna fact. Bora ukae kimya...
Acha kupotosha umma. Alisema nyakati kama hizi kuna mambo mengi, kuna maigizo mengi hasa baadhi ya watu wamesomea. Kuna kosa gani hapo......? si watu wanasomea.
Swala la samaki unatakiwa kutafakari vizuri. Askari wa Tanzania wakishirikiana na wa africa kusini wailikamata ile meli. Sasa naomba nikuulize kitu tangu lini askari wanasema uongo?, Hivi hata hao wa africa kusini wenye mitambo na uzoefu mkubwa waweza kuwa mbumbu wa mipaka nchi?. Kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.