mbona hoja ni lissu tu? Nina mashaka na upeo wa kufikiri wa mtoa mada...hilo tu ndo uloliona? Mbona huzungumzi ya lukuvi na wassira? Think big bwana sio unakurupuka na kuropoka ya usingizini
Licha ya mkuu kuongeza siku za kukaa bungen kwa wabunge wa katiba ikimaanisha kuongezeka kwa laki 3 kwa siku 60 zilizoongezwa kwa upande mwingine imewasahau walimu wapya, kwa kutokuwapa pesa taslimu ya kujikimu.
Kwa mujibu wa taarifa sahihi, walimu hao wamekuwa wakihaha hata kujaribu kutafuta...
yaan ualimu unaharibiwa n wa2 flan walio ktk nafac! Inakera xana! Yaan ukiangalia pexa waliyotoa n xawa na naul tuliyo2mia mpaka vi2on what iz the implication?
nasikitika kwamba baadhi ya wilaya hazijawapa walimu pesa ya kutosha za kujikimu walimu wapya licha ya kuwapeleka vijijin kusikokuwa na huduma za mhimu. Je wanaanzaje maisha walimu hawa kwa pesa kidogo za siku tatu au nne wakat wanatakiwa kupewa pesa ya siku 7? Je mtu anaweza kuanza maisha kwa...
Wadau naomba tushirikiane kutoa adress za vyuo wanavyoweza kuapply form four kulingana na perfomance zao plz take it serious na ikiwezekana andika na course offered na pia dadavua kama wanatoa kwa level ya certificate au dip na ammount of fees kama utapenda
wanasubiri baba zao wafariki waje warith majimbo na ubunge wa baba zao kabla ya kuanua matanga ili walete sera za ndoa za jinsia moja kwenye nchin kwetu
watanzania tuseme basi inatosha kwa hizi tawala za kifalme zinazorithishana madaraka..! Nazungumza nkitafakar yaliyotokea arumeru, kalenga na sasa chalinze..wala tusije tukasahau kwamba wazee wao ndio waliotufikisha hapa tulipo..na mtoto wa nyoka ni nyoka wala hafundishwi kuuma, kila siku malori...
Wapendwa salam kwenu..nimejaribu kupitia mitandaoni na nimegundua maumbile ya mwanaume hutakiwa kuwa inch 6 kwa wastan bt i'm below that..naomba kujua njia za asili za kumkuza mdudu pasipo na madhara kiafya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.