Akili hizo ww!! Vita ni gharama! allies wapo ili ushirikiano uwepo!!! Iran kabla ya vita uchumi ulikuwa Hoi! Sasa sikilizia baada ya hii vita Watakuwa wamerudi miaka 50 nyuma.
Pro-Iran ni watu wajinga sana! So far sioni kitu cha maana Iran wameachive! Zaidi ya kubomoa vijengo hapo Middle East na sehemu za Israel!! Kwao viongozi wanateketea kila siku,kambi za kijeshi kwisha habari yake,navy kwisha habar yake,viwanja vya ndege kwisha habar,refinery muhimu kwisha...
Iran kwisha habari! Anaruka ruka kama kichaa. Na kuhusu makombora ya masafa ya Kati yaan 3000_4500 km anayo na hilo linajulikana! Nashangaa kuna makobaz majinga hapa yanaleta unafik kuwa hayo makombora yametengenezwa hv karibuni!!!!! Yapo ila hayafiki 15.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.