Bado sijaona kosa la diamond kabsa nazani watu mnajaribu kutafuta sababu ambazo hazina mashiko kumkandamiza mambo ya mahusiano ni uwamuzi wa MTU na ana Haki ya kumpenda yoyote kwan uyo wema yeye ana nini asiachwe jamani? Tumchukie MTU kwa vigezo maalumu ila siyo ivo kwan wema hajawah...
Hah hah hah wanaume bwana ni viumbe ambao mungu amewapa upekee wenu... mkipata papuchi nzur lazima tu kuna kikwazo kingine kitakuja ila lakin ndo mambo yanayofanya maisha yaende ngoja tuchukue darasa apo
Lool!kwakwel Dada nakupenda bure kama kuna kitu unanifurahisha ni uwezo wako wa kuanalyse vitu embu mungu azidi kukupa afya njema wengine tufurahi kwakwel
Ni ukosefu wa akili kabisa eti mnamchukia MTU kisa alimuacha x wake kwel hiz ni akili au matope?uyo wema au jokate ni nan?na wana nini?mbona wanaume wengine waliwaacha pia..na ni aibu kuona msomi au MTU anaejielewa anakosa uwezo wa kujitegemea na kushikuriwa mawazo et na wema sepetu.hii ni...
Sina team ila kwa point hii huu ukosefu wa kufikuria vizuri maana huwezi sema MTU asipigiwe kura kisa kawaita x zake makombo na wao je walimuita nan?alaf mambo ya mahusiano bwana waachie wenyewe alaf siyo kila uhusiano Lazima uishie kwenye ndoa. we umeacha au umeacha wangap? Uyo mganda ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.