Ndio nlishawahi shiriki na wengine natatoka niwe nae huyu sikuwahi sikia maumivu ila baada ya kumzalia ndio naskia maumivu makali sana sana yani akiingia tu mm naumizwa.... yani imekua tyu much.siinjoi chochote kile toka nikiwa preg na baada yakutotoa mmmh! Mambo hayako vizuri kabsa
Naogopa kuaribu uchi wng jamni.wanawake wengi wanateseka ukkwuko chini kwa mambo mengi.ngoja ntaenda kwa dactari maana humu ndani naona chenga tu kwa wengi japo wengi waliyo yasema yameingia akilin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.