Recent content by renatushildegathy

  1. R

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    Swala si lowasa bari hata jk tulikosea sana hata dunia inajua maana uelewa wa sisi wa tz ni finyu na ndio maana tulimpa kura nyingi na inawezekana lowasa alishinda kweli ila kwa wenye maono na uelewa walijua wazi tuta rudi kwa jk kuwa na inchi mzigo yenye kila aina ya uozp kwa mimi nasema...
  2. R

    Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

    Be blessede our beloved president pombe.
  3. R

    Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Chagonja, amehamishwa kwenda Jeshi la Zimamoto

    Igp huyu naona aendelee kidogo cz bdo ni mgeni na bado hajajilimbikizia mali anaweza endana kasi ya sasa
  4. R

    Afisa TPA: Vigogo walitumia "vimemo" kupitisha makontena yao ya ndugu zao na ya wapendwa wao

    Kwa hapo rais wangu ajira tulio kupa mbona ni ngumu sana bora kujifundishia wanafunzu kuliko mzigo mzito tulio kutwisha.yaani hii minya ngumi cjui kama utaiweza kuna sehemu ykufuatilia utakutana na jk live bila chenga
  5. R

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    Komaeni na hpo kwenye uhai wa inchi maaana huku mtaani huwa mnatesa sana walipa kodi wadogowadogo. Yaani mkifanikisha kudhibit hpo basi mambo tz yatakuwa kma rwanda
  6. R

    Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

    Pole raisi wangu una kibarua kigumu sana hasa haya majizi makubwa kama haya kupambana nayo yataka uwe umejitoa kweli
  7. R

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    Huyu mtu ulikuwa ni mpango wa Mungu kulikomboa taifa letu,hii mijizi imefilisi taifa huku walala hoi wakiteseka na wengine wakipoteza maisha kwa kukosa panado. Kwa spidi hii anaweza funika hata uongozi wa nyerere tunakuombea mr.pombe Mungu akupe ujasiri na moyo wa huruma kwa sisi vidudu mtu...
  8. R

    Uongozi wa Bunge: Mkopo wa gari kwa Wabunge ni Milioni 90, hautaongezwa

    Hiyo landcruiser mkonge mbona sijaiona jimbon kwangu kumbe mnapewa pesa za kununulia landcruiser mkonge ninyi mnanunua v8 linalo bugia mafuta kama lori sasa mimi naona raisi apige stop haya ma v8 yote kwa watumishi wote tanzania thn agawe gari za hii aina ya mkonge kidogo inavumilia na gharama...
  9. R

    Rais Magufuli afuta sherehe za maazimisho ya siku ya UKIMWI, fedha zinunue dawa...

    Yote kumi mimi nitakukubari zaidi nikiona umeweka limwenge linalo changia maambukizi makubwa ya ukimwi ukiliweka parking pale makumbusho yaani huwa hainiingii akilini kabisa eti sisi walala hoi mtuchangishe hela za mwenge thn unakuja una lala kijijin kazi zote zina simama jion mkesha wa disco...
  10. R

    Mahakama Kuu yampa ushindi Baba wa Mawazo, Mawazo kuagwa na kuzikwa kwa heshima zote

    Tatizo la polisi wao hutekeleza maagizp hata kma alie toa agizo ni zero brain kazi la tunayo na hili jeshi letu, Wanatumia nguvu nyingi huku mambo ya na ya muhimu ya kilala. Hapo mr.pombe unakazi kubwa ya kubadilisha hii mifumo ya viongozi wetu.
  11. R

    Waziri Mkuu Majaliwa aitaka TAMISEMI kujieleza kwanini mabasi yaendayo kasi hayajaanza kufanya kazi

    Inawezekana hawajakabidhiwa hela za mafuta za kuanzia maana nasikia mzee kafagia kihenge chote sasa bwana pombe anajukumu zito wapi pakuanzia. So kuwadikiliza nadhani kafanya jambo la muhimu.Mungu awatangulie ktk kufunua uozo wote wa pale bandarini naingekuwa inaewezekana mjaze mamiruki wengi...
  12. R

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Mungu akujaze ujasiri na wala usiyumbishwe na mbulura yetote hakika wew ni mwana Mungu na ushindi wako ulikuwa ni mpango wake maana kasikia kilio chetu. Plz mr.president kama inawekana zifute zote mpaka hapo uchumi wa taifa letu utakapo kuwa umetengemaa. Haiingii akilini tunasherekea huku...
  13. R

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Ninacho muomba rais wangu afuatilie kama mkopo unaotolewa ni wa landcruiser hard top kwa nini wengi wao wana vx v8 ambayo ni magari ya gharama kubwa na nighari kuyatunza.yaani hii vx gharama ya matunzo kwa mwaka inazidi y manunuzi kma kweli ni hardtop apendekeza wapewe ila kwa ambaye atakuwa na...
  14. R

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Nampongeza Dr kwa hotuba nzuri iliogusa karibu kila kona na wengi tumeielewa nimefurah kauli yake ya kusema 'NASEMA KWELI' Namwamin raisi wangu kuwa anaweza kutufikisha mahala ingawa nasikitika kuwa hajafuta haya mashangingi yanayo ligharimu taifa fedha nyingi. Plz mr.president tusaidie hii...
  15. R

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    Nampongeza Dr kwa hotuba nzuri iliogusa karibu kila kona na wengi tumeielewa nimefurah kauli yake ya kusema 'NASEMA KWELI' Namwamin raisi wangu kuwa anaweza kutufikisha mahala ingawa nasikitika kuwa hajafuta haya mashangingi yanayo ligharimu taifa fedha nyingi. Plz mr.president tusaidie hii...
Back
Top Bottom