Recent content by Remigius Johannes

  1. R

    Napata wasiwasi na watendaji wa Rais!

    Mgosi hiyo bei ni sahihi kwani ni pamoja na cha juu! Unataka nyumba ya atakayekiagiza aimalizie na nini?Lakini kubwa ni hotuba katika kipindi ambacho kuna jambo ambalo tangu tupate uhuru halijawahi kutokea, yaani mgomo wa waaalimu. Mimi nilitegemea wasaidizi wake kwenye hotuba wange-focus kwenye...
  2. R

    Siri za Uchunguzi wa Tukio la Dkt. Ulimboka zaanza Kuvuja

    Nawashauri madaktari mliopanga kuandamana msifanye hivyo. Wanaweza kupewa wahuni tu fedha na mtu yeyote au chombo chochote wakawavurumishia mawe na hata vinyesi ili mradi tu maandamano yenu yaingie doa kwa nia ya kuonyesha kuwa wananchi wana hasira dhidi ya mgomo wenu. Jaribuni kutafakari kwa...
  3. R

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    Laana ya Baba wa Taifa kuhusu dhambi ya ubaguzi imeanza kuwatafuna! Tukumbuke wosia wa Baba wa Taifa kuhusu ubaguzi (ondoa na kubadilisha maneno Watanganyika na Wazinzibari kwa ccm na cdm). "Mtakapowabugua tena kwa sababu za ulevi tu, kwamba wao cdm, sisi ccm, hii dhambi itawatafuna tu...
Back
Top Bottom