https://chat.whatsapp.com/InahJ3HYzic61J73IhjvG2
Malengo ya group hili:-
1. Kuwapa fursa wanafuzi wa kidato cha six kuuliza maswali yoyote ya kielimu
2. Kuwapa taarifa sahihi kuhusiana na nafasi za masomo na mikopo ya elimu ya juu.
3. Kuwasaidia katika kufanya maombi ya vyuo na mikopo ya elimu...
Malengo ya group hili:-
1. Kuwapa fursa wanafuzi wa kidato cha six kuuliza maswali yoyote ya kielimu
2. Kuwapa taarifa sahihi kuhusiana na nafasi za masomo na mikopo ya elimu ya juu.
3. Kuwasaidia katika kufanya maombi ya vyuo na mikopo ya elimu ya juu.
4. Kuwashauri kufanya chaguo za kozi na...
https://chat.whatsapp.com/InahJ3HYzic61J73IhjvG2
Malengo ya group hili:-
1. Kuwapa fursa wanafuzi wa kidato cha six kuuliza maswali yoyote ya kielimu
2. Kuwapa taarifa sahihi kuhusiana na nafasi za masomo na mikopo ya elimu ya juu.
3. Kuwasaidia katika kufanya maombi ya vyuo na mikopo ya...
Unaweza kuwa nazo hizo na ukakosa vizur. Ukishindwa kupangilia machaguo yako tatizo huanzia hapo. Angeliingiza kcmc au bugando fani ya Lab au Pharmacy asingelikosa moja wapo. Yeye ana 1 ya 9 kuna watu wana 1 nene nene wote wanakimbilia Muhas, Udom na Udsm
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania, limesema watahiniwa 82,440 sawa na asilimia 98.35 ya watahiniwa 84,212 waliofanya mtihani kidato cha sita Juni/Julai 2020 wamefaulu.
Akitangaza matokeo hayo visiwani Zanzibar leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk...
Hawezi kukujibu uyo asikudanganye hata iyo TCU haijui ilivyokaa kinomsaidia iyo simu yake kuwa na button za kuandikia tu hajui lolote uyo. Hizo sms zake tu zinaonesha kama sio mzoefu wa masuala ayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.