Recent content by Remedy2017

  1. R

    Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

    Mambo Zenu Wakuu! Mwanamke Ambae Yupo Tayar Kuolewa Anitafute Kwa Mawasiliano Zaidi,bado Sijapata Kazi Ila Akipatikana Co Mbaya Lakin Awe Na Uwezo,uthubutu,nia Pia.Sina Vigezo Vingi Umri 26-30,awe Anafanyakazi,
  2. R

    Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

    Mimi Ni Mwanaume Natafuta Mke Wa Kuoa Mwenye Umri Wa miaka 30-42 ambae atanipenda kwa dhati,awe anaish dar.umri wangu ni miaka 28.sina ubaguzi wa rangi, kabila,wala dini.kwa mawasiliano zaidi ni pm. maswali sikaribishi niuamzi wangu.
  3. R

    Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

    Habari wana JF, Mimi ni mwanaume rijali ninamiaka 27,naish pwan.Wasifu Wangu ni mwembamba kias,sio mrefu,maji yakunde, natafuta mke wakuoa nitaefunga nae pingu za maisha baada yakuelewana na kukamilisha taratibu za ndoa. Mke nimtakae awe na sifa zifuatazo,mweupe,asiwe...
  4. R

    Mpya: Mwanamke unayetafuta mume pitia hapa

    Mimi Ni Mwanaume Natafuta Mke Wa Kuoa,umr Wangu Ni Miaka 26,naishi Dar.Mke Ninae Mwitaji Awe Na Umri Wa Miaka 24-31,mweupe Asiwe Wa Dukani,mrefu Kias Kwn Mimi Ni Mfupi Kias Mwembamba.Kwa Mawasiliano Zaidi Ni Pm Au tuwasiliane kwa 0757144957,
  5. R

    Natafuta Kazi, nimesomea Uhasibu

    Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 29, niliehitimu chuo kwa fani ya uhasibu, Ngazi ya stashahada,Ninauzoefu wa miaka miwili,Pia nimehudhuria kozi ya accounting package pamoja na computer. Nitashukuru sana kwn nipo tayari kufanya popote.
Back
Top Bottom