Habari wakuu...
1. Nimepewa mtonyo kutoka mtu wa jikoni kabisa kunako jwtz kwamba jeshi halijapeleka vijana tume. Lakini Vijana wa JKT IT specialist walichukuliwa na NIDA wakati wa uandikishaji vitambulisho vya Taifa.
2. Pia kuna mtonyo nimepenyezewa kuwa baadhi ya wakuu wa vikosi walianza...
Acha tumkabizi nchi mwizi ambae anajulikana kabisa akiiba tusijilaumu kuliko tunavyowakabidhi wanaojiita wasafi wanaishia kustaafu na vi NGO'S KIBAO!!! Tunaishia na kauli za tungeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.