Kabisa mimi pia nilitamani sana lakini mambo yakanizidi! Nawaza kwenda jangwani lakini naviogopa virungu! Maana nina imani wako tayari tayariii
Pole sana gamba kwa hivi vipropaganda uchwara
Kabisa mimi pia nilitamani sana lakini mambo yakanizidi! Nawaza kwenda jangwani lakini naviogopa virungu! Maana nina imani wako tayari tayariii
Ulimpa taarifa? Maana kama huko Kiloloo hakuna umeme hujamnunulia redio wala TV angejua je? ulimpa nauli? hebu sogea kule toa msongamano hapa
Acheni ulofa Wa kufanya siasa nyepesi Ni kujitekenya na kucheka wenyewe,nendeni mikoani,ccm wanachanja mbuga ,tizameni mkutano Wa mama Samoa monduli labda ndio mtaamka usingizini,hii mitandao inawadanganya pia magazeti,hayaandiki kinachijiri vijijini kila wagombea na makada Wa ccm kina kibajaji wanapopita,muwe mnachungulia hata ccm blog kubalance story
CCM WAKIONA cuf NA cdm PAMOJA WANAUMIA SANA
Wamenoootezea muda wangu hakuna point hata moja malofa wana kazi nzito mwaka huu
Subirini Kesho ajidunge sindano ndio aweze kuongea kwa saa 1 na baada ya hapo ataibukia kwa daktari wake.Vinginevyo vumilieni tu hotuba za dakika 4, ndio hali ya mgombea ilivyo.
hao ni wanawake wa dar au makahaba wa dar?
Haha it's crazy how you can go from being a Joe blow to everybody's d*ck,
Madam ever you had shoe without shoe strings? We got nothing to lose, ccm we still rolling on, so you ain't sippin even not scarring either, cha msingi Tuliza kipago, usubiri magufuli aingie magogoni. Mbaya zaidi huna hata visa hivyo utabaki kuwa wa hapa hapa na Rais wako ni magufuli........ Carry on.
hao ni wanawake wa dar au makahaba wa dar?
Usiogope, wewe twende tu.Hujasikia jana Mbowe akisema kuwa wanawake tumetengewa sehemu yetu?Kabisa mimi pia nilitamani sana lakini mambo yakanizidi! Nawaza kwenda jangwani lakini naviogopa virungu! Maana nina imani wako tayari tayariii