Hapa kuna interest za watuu wengine hawajapenda walipopangiwa soo wanatamanii mabadiliko ilii wapangwe kwingine amna aliyekwambia Ajira zimesitishwa wameondoa Tangazo kwa muda wametumia miezi miwili kupanga asaa iwe vip upangwe Mbeya kesho teena wakupange Tanga andaa safari nenda karipoti...
Ndugu yangu mimi pia nimepangiwa moshi na nimetembea maeneo mengi Tanzania moshi kuna kila kitu maji na umeme wa uhakika embu shukuru Mungu kuna watu wamepangiwa sehemu hata kupata mishahara ni tabu afuu jifunze kuishi popote usipende sana kwenuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.