Recent content by Reginald Clinton

  1. R

    Lusinde: Wembe ni ule ule Arusha!

    Hv huyu mgogo amekuwaje mbunge? Anaongeaga utumbo tu! Anatuaibisha vijana bana! He needs a tuition on ethics and values!
  2. R

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Inakuwaje hakuna kijana hata mmoja!! Waliopo ni wazee tu!! Ni kweli kwamba tunawahitaji kina baregu, Ramadhani, Butiku na Salim! Wamefanya mambo makubwa sana kwa taifa hili na mimi binafsi ninawakubali sana lakini wapi vijana?!
  3. R

    Kilichojiri viwanja vya NMC na hatma ya Jimbo la Arusha Mjini

    Tunategemea in depth coverage ya yote yatakayotokea! We wish you luck Chadema!
Back
Top Bottom