Recent content by Reginald Chami

  1. R

    Jeshi la Polisi lamkamata Muhusika wa Usambazaji wa SMS Chochezi

    MWIGULLU nCHEMBA BAADA YA KUSHINDWA KWA UGAIDI DHIDI YA LWAKATARE SASA ANATAFUTA NJIA YA KUJISAFISHA, JE HUU NI UKAME WA AKILI AU AMEKUWA MUFLISI WA SERA??????????????????
  2. R

    Dr.Cyril Chami mbunge wa Moshi (V) umetufanyia lipi tokea 2005??

    Jimbo la Moshi vijijini ni moja ya majimbo hapa Tanzania ambayo hayajawahi kupata mwakilishi anayejitambua.Ninasema hivi nikiwa timamu kabisa kutokana na huyu Mbunge kuwa bubu bungeni kiasa kwamba maendele jimboni kwake ni bubu. Alipochaguliwa aliahidi mengi kama ajira kwa vijana ambapo baada...
  3. R

    Waraka Mwl Shukia kwa Mwigulu Nchemba

    Huyu kijana ni muhuni, mkame wa akili, mwongo na mpyaro. Amesahau kazi ya wananchi na kubaki kufanya siasa upyaro na uchware bungeni.Mimi nilishangazwa siku moja alipopinga kuwa walimu hawafanyi biashara mashuleni ilhali wanafanya ili kujikimu kimaisha kutokana na kipato chao kidogo. Hivi...
  4. R

    Mkuu wa Mkoa Arusha aropoka mei mosi

    Hawa ni aina ya viongozi ambao ni wachochole kifikra na hudhani kuwa mabavu ndio kila kitu lakini sasa amekanyaga pabaya.Hajui kuwa hapo ni Arusha? Namsihi ajivua ukuu wa mkoa arejee kwenye kazi yake ya Utarishi Posta. HAYA NDIO MATATIZO YA KUBEBANA-KWANI ALIKUWA TARISHI POSTA MBEYA HADI MKUU...
  5. R

    Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

    Kamanda Lema fungua kesi.Hii si kesi ya kupuzia maana ni ya wazi kuwa viongozi wa serikali wanatumika kisiasa.Hiyo video iwekwe wazi na SMS iliyojaa ushaidi wa ubambikiziaji kesi.Nawasihi Chadema waanzie hapa maana huu ndio utakuwa mwanzo wa kuijuza jamii juu ya mikakati ya wazi ya MAGAMBA dhidi...
  6. R

    Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

    Kamanda Lema fungua kesi.Hii si kesi ya kupuzia maana ni ya wazi kuwa viongozi wa serikali wanatumika kisiasa.Hiyo video iwekwe wazi na SMS iliyojaa ushaidi wa ubambikiziaji kesi.Nawasihi Chadema waanzie hapa maana huu ndio utakuwa mwanzo wa kuijuza jamii juu ya mikakati ya wazi ya MAGAMBA dhidi...
Back
Top Bottom