Habari natafuta compressor ambayo nitakuwa naitumia kwenye biashara za car wash yenye uwezo wa kujaza upepo, kutumika kuoshea magari na ku spray rangi, inauzwa bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.