Recent content by Redrose20

  1. R

    Hormonal imbalance

    Habari, wana forum jamani. Naomba mnisaidie hili tatizo linaishije, nilienda hospital nikaambiwa nina hormone imbalances kwasababu nahitaji sana mtoto. Msaada wenu wapendwa.
  2. R

    Msaada: Nina tatizo la kutokwa na majimaji sehemu za siri

    Wahi hosptl..yaweza kua magonjwa ya zinaa.
  3. R

    Hormonal imbalance

    Asante mamii kwa ushaur..nahis kuchanganyikiwa na hili tatizo ila Mungu yupo naamin atanitetea.
  4. R

    Hormonal imbalance

    Asante kwa ushaur,ntafanya hv!
  5. R

    Hormonal imbalance

    hapana ckuambiwa ni hormone gan haikubalance,ila nimekua na irregular periods ss hapo cjui itakua hormone gn haikubalance
  6. R

    Hormonal imbalance

    Asanten,ckuambiwa ni hormone gan hazikubalance bt nimeambiwa nna hormone imbalance na kuna dawa nimeandikiwa ila bdo cjachukua inahitajika laki mbili na 60 ndo najipanga nikachukue nilienda kwa dr.mwaka pale ilala bungoni..cku zangu zimekua irregular sn nilivyoambiwa hv niliogopa sn,bt now at...
  7. R

    Hormonal imbalance

    Hbr zenu,naomba kujuzwa kuhusu hormone imbalances..nilienda hosptl kupimwa nikaambiwa nna hyo kitu ktk swala zima la uhitaji wa mtoto..kwa anaejua nn kisababishi cha hormone kua hv kuna uhusiano wowote na upevushaji wa mayai?
  8. R

    Kupotea kwa hedhi 4 years

    Mmh,nenda tu kwa wataalam
  9. R

    Njia ya mkojo inawasha

    Wahi hospital,chek na UTI
  10. R

    Kitu kimerushwa iko, kikuuma jirekebishe mwanamke

    Yamekukuta c bure!mmh hatari..
  11. R

    Ujauzito miezi 9

    Pole sn!
  12. R

    Asanteni wote kwa ushauri wenu, Nimefanikiwa kupata ujauzito

    asante,ntatumia next period mana tangu nimalize leo cku ya 7 xo nimechelewa,nilianza trh19.
  13. R

    Asanteni wote kwa ushauri wenu, Nimefanikiwa kupata ujauzito

    inapatikana wap hiyo dawa?pharmacy au..matumizi yake je?unakunywa kwa siku ngap?tafadhal.
  14. R

    Asanteni wote kwa ushauri wenu, Nimefanikiwa kupata ujauzito

    ni dawa gan mmetumia wapendwa,naomba kujuzwa nahitaj pia.
Back
Top Bottom