Asanten,ckuambiwa ni hormone gan hazikubalance bt nimeambiwa nna hormone imbalance na kuna dawa nimeandikiwa ila bdo cjachukua inahitajika laki mbili na 60 ndo najipanga nikachukue nilienda kwa dr.mwaka pale ilala bungoni..cku zangu zimekua irregular sn nilivyoambiwa hv niliogopa sn,bt now at...
Hbr zenu,naomba kujuzwa kuhusu hormone imbalances..nilienda hosptl kupimwa nikaambiwa nna hyo kitu ktk swala zima la uhitaji wa mtoto..kwa anaejua nn kisababishi cha hormone kua hv kuna uhusiano wowote na upevushaji wa mayai?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.