Recent content by Redpanther

  1. Redpanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke asiye na utii

    Ni rahis kusema ila kwenye kujizuia usipatwe na hasira kwa Mwanamke ambaye anaona kushindana na wewe ndio njia pekee ya kuongea nawe.!? Mimi siwezi vumilia na Mwanamke mshindani. Naelewa kuwa yeye ni mtu mzima na tunatofautiana katika kuyaona mambo (perception) ila Hata weza kujishusha tutafikia...
  2. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ni wazi JF Wameonewa ila wameamua kutii

    Kuna shida kubwa sana, Kama Taifa
  3. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    Fafanua Mkuu, Hii inahusianaje sasa na nilichosema mimi
  4. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    😂😂😂😂😂😂😂
  5. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    😅😅😅
  6. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    Sasa Mimi kula miwa alfu nikaagiza Kinywaji kuna ubaya.
  7. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    Nimeambiwa hawaruhusu mtu Kula miwa kwenye Bar yao na sababu ni hiyo hiyo niliyoandika.
  8. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    Ni Bar ya Mjini kabisa. Ni hapa Maeneo ya Sinza tajiri yangu.
  9. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ukila mua Bar nini kinatokea ??

    Habari za Wakati huu Wazee Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu nizimie kwa mshituko huo. Nimekuja hapa sehemu moja karibu na ninapokaa nikataka niagize kinywaji huku nasikiliza kamziki kidg kidg. Nilikuwa nimenunua miwa ya kutafuna nikaweka mezani nitafune alfu baadae ninywe...
  10. Redpanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupagawishana, kuchezeana na kuamsha mizuka kwenye simu

    Haya mambo ni rahisi sana kama Hudaiwi madeni, watoto hawajarudishwa shule kisa Ada na Kama hujawahi mshika mwenza wako aki flirt na mtu mwingine. Nimeyafanya sana Kipindi nikiwa jobless na nikiwa sijaoa.
  11. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Mapungufubya Hoja yako kiongozi inakosa uhalisia kwa Sababu wewe umetumia available internet sources na pamoja na hayo yote taarifa yako imekosa exactly figure japo hata ile ya kuonyesha unachokikataa ni sahihi au lah. Sipo pamoja na Pole pole ila ningependa ajibiwe kwa hoja zenye mashiko...
  12. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la ufisadi kwa serikali za kiraia ni mapinduzi ya kijeshi tu!

    Ni mtihani kweli kweli
Back
Top Bottom