Ni rahis kusema ila kwenye kujizuia usipatwe na hasira kwa Mwanamke ambaye anaona kushindana na wewe ndio njia pekee ya kuongea nawe.!? Mimi siwezi vumilia na Mwanamke mshindani. Naelewa kuwa yeye ni mtu mzima na tunatofautiana katika kuyaona mambo (perception) ila Hata weza kujishusha tutafikia...
Habari za Wakati huu Wazee
Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu nizimie kwa mshituko huo. Nimekuja hapa sehemu moja karibu na ninapokaa nikataka niagize kinywaji huku nasikiliza kamziki kidg kidg.
Nilikuwa nimenunua miwa ya kutafuna nikaweka mezani nitafune alfu baadae ninywe...
Haya mambo ni rahisi sana kama Hudaiwi madeni, watoto hawajarudishwa shule kisa Ada na Kama hujawahi mshika mwenza wako aki flirt na mtu mwingine. Nimeyafanya sana Kipindi nikiwa jobless na nikiwa sijaoa.
Mapungufubya Hoja yako kiongozi inakosa uhalisia kwa Sababu wewe umetumia available internet sources na pamoja na hayo yote taarifa yako imekosa exactly figure japo hata ile ya kuonyesha unachokikataa ni sahihi au lah. Sipo pamoja na Pole pole ila ningependa ajibiwe kwa hoja zenye mashiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.