Recent content by RedHAT Certified

  1. RedHAT Certified

    Kuna Wanawake Wana upepo wa mafaniko, ukiwa nao unafanikiwa

    Hebu muache mkeo endelea na mama J Kwa miaka miwili tu-proove if you are correct.. maana hapo nimeelewa kuwa Una Mke na mchepuko na mafanikio hayo yamekuja wote wakiwepo
  2. RedHAT Certified

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Umenisikitisha Sana ndugu, hiyo Tabia yako umekuwa ukilitia Gari mikosi, ukijapata Ajali Za Wenge usishangae, hata gesti ya buku Tatu imekushinda???, haya sasa chupi kwenye Gari Na mkeo kaiona ni Sawa Na hiyo chupi kukutwa chumbani kwako Na mkeo... Achana Na hizo Tabia Na jaribu Kubaki njia...
  3. RedHAT Certified

    Nilisema wameweka toroli mbele ya farasi kitu ambacho wamechukia, lilikuwa legal and not ego

    Wakili wa Serikali Abdallah Chavula: Ikupendeze mheshimiwa jaji, tumesikikiza mapingamizi kutoka kwa wenzetu wa utetezi kuhusu upokelewaji wa kielelezo hiki. Kiujumla sisi hatukubaliani nao, hayana muunganiko na kilichopo na kwamba tulichokifanya, kwa maoni yao hatujui tunafanya nini na kwa...
  4. RedHAT Certified

    Laiti watanzania wangejua ya Ikulu wangewapiga mawe

    Umeishasema nisiamini cha kuambiwa au nisichokiona... Kwahiyo usiniaminishe hicho uniambiacho
  5. RedHAT Certified

    Five things Lissu(MP) is lying to the world; an open letter

    "On BBC HardTalk he talked about the President’s failure to finance his treatment. First of all, this is not a matter to be dealt by the President but Parliamentary procedures. The President finances no one to have treatment but Parliamentary or Government procedures." Ile milioni 50...
Back
Top Bottom