RedHAT Certified
Member
- Jan 23, 2019
- 5
- 18
Wakili wa Serikali Abdallah Chavula: Ikupendeze mheshimiwa jaji, tumesikikiza mapingamizi kutoka kwa wenzetu wa utetezi kuhusu upokelewaji wa kielelezo hiki. Kiujumla sisi hatukubaliani nao, hayana muunganiko na kilichopo na kwamba tulichokifanya, kwa maoni yao hatujui tunafanya nini na kwa maoni yao tumetanguliza toroli mbele ya farasi na kwamba wangekuwa wao werevu wasingefanya hivyo.
Na pia hakuna ushahidi kwamba national prosecution service au wakala wake Dar es Salaam ambaye amethibitishwa kumkabidhi shahidi. Kwa hali hiyo shahidi hana uwezo, na haitoshi kwamba shahidi majina yake yameonekama kwemye kielelezo hicho na wenzetu wanadai kwamba majina hayo
Hoja ya kwanza imejengwa kwamba barua kwa maana ya kielelezo hiki hakikuelekezwa kwa shahidi na badala yake, kielelezo hiki kimelezwa kwa national prosecution service yenye anuani yao dodoma na ni hoja zao kwamba shahidi yeye siyo mhusika wa national prosecution service.
Wakili wa Serikali Abdallah Chavula: Ndiyo yaleyale tuh+ Mheshimiwa Jaji
Kibatala: MHESHIMIWA JAJI Naona Wakili yupo Emotional Sana, Na Hii siyo Vita Vya Mtaani, Hebu ajielekeze Kwenye Kujenga Hoja tu.
Wakili wa Serikali: Abdallah Chavula Ndiyo sasa Uchague cha Kusema sasa, Sisi tumeelewa hivyo
Jaji: Hakusema wao Werevu, amesema angelikuwa yeye angefanya.
Kibatala: Basi Mheshimiwa Jaji, tumuache aendelee kuelewa anayotaka, Tutapata muda wa Kujibu.
😂😂😂😂😂😂 WAKILI CHAVULA hajaeleweka kabisa na alikuwa kweli too emotional baada ya kuambiwa wameweka TOROLI mbele ya FARASI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na pia hakuna ushahidi kwamba national prosecution service au wakala wake Dar es Salaam ambaye amethibitishwa kumkabidhi shahidi. Kwa hali hiyo shahidi hana uwezo, na haitoshi kwamba shahidi majina yake yameonekama kwemye kielelezo hicho na wenzetu wanadai kwamba majina hayo
Hoja ya kwanza imejengwa kwamba barua kwa maana ya kielelezo hiki hakikuelekezwa kwa shahidi na badala yake, kielelezo hiki kimelezwa kwa national prosecution service yenye anuani yao dodoma na ni hoja zao kwamba shahidi yeye siyo mhusika wa national prosecution service.
Wakili wa Serikali Abdallah Chavula: Ndiyo yaleyale tuh+ Mheshimiwa Jaji
Kibatala: MHESHIMIWA JAJI Naona Wakili yupo Emotional Sana, Na Hii siyo Vita Vya Mtaani, Hebu ajielekeze Kwenye Kujenga Hoja tu.
Wakili wa Serikali: Abdallah Chavula Ndiyo sasa Uchague cha Kusema sasa, Sisi tumeelewa hivyo
Jaji: Hakusema wao Werevu, amesema angelikuwa yeye angefanya.
Kibatala: Basi Mheshimiwa Jaji, tumuache aendelee kuelewa anayotaka, Tutapata muda wa Kujibu.
😂😂😂😂😂😂 WAKILI CHAVULA hajaeleweka kabisa na alikuwa kweli too emotional baada ya kuambiwa wameweka TOROLI mbele ya FARASI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣