Mtanzania popote alipo atatambulika kwa ubinadamu wake, hii ni Kenya watanzania wakimsaidia dereva mwenye gari lililofeli break
https://www.instagram.com/reel/C6oIMpaAZzj/?igsh=MXUxa3l1OHRieGN0Mw==
Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo 😂
Kijana unajua maana ya underpass?
Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter
Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.