Recent content by REDEEMER.

  1. REDEEMER.

    Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

    Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo 😂
  2. REDEEMER.

    Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

    Marangu pamoto zaidi
  3. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hajapost interchange hata 1 Ni junctions 3 Wewe umeona interchange hapo?
  4. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kijana unajua maana ya underpass? Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure...
  5. REDEEMER.

    Nyie mnaopenda kusema eti mnatulisha, hebu kujeni kidogo

    Tunazidi kuwachagiza mje kwa wingi sababu ardhi bado ni kubwa na tunataka serious investors. Mkija mnatoa ajira, kodi, mnanunua malighafi Tanzania na kuineemesha Tanzania zaidi na ndio maana Tanzania Hakuna tatizo la ajira kama ilivyo kwenu.
  6. REDEEMER.

    Tanzania humiliated by Bill Clinton

    Wakenya wakiandika habari zao bila kuihusisha Tanzania kinamna yoyote Ile wanaona kama haitasomeka
Back
Top Bottom