Recent content by REDEEMER.

  1. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Swadakta kabisa, soma comments walivyokosa shukrani, wakenya ni makatili kwa asili
  2. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mtanzania popote alipo atatambulika kwa ubinadamu wake, hii ni Kenya watanzania wakimsaidia dereva mwenye gari lililofeli break https://www.instagram.com/reel/C6oIMpaAZzj/?igsh=MXUxa3l1OHRieGN0Mw==
  3. REDEEMER.

    Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

    Mumshukuru njiwa pori kwa kuintroduce lodge za wavuvi zile za buku per night kwenye mialo yenu la sivyo hata maana ya lodge mngekuwa mna Google mpaka leo 😂
  4. REDEEMER.

    Christmas Uchagani: Wachaga wako overrated!

    Marangu pamoto zaidi
  5. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hajapost interchange hata 1 Ni junctions 3 Wewe umeona interchange hapo?
  6. REDEEMER.

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kijana unajua maana ya underpass? Kama hii ni underpass basi hata nyumba unayoishi ni undershelter Sijaona barabara iliyopita CHINI YA ARDHI mpaka uite underpass wala hata juu ya hicho unachokiita underpass hakuna treni wala magari wala pedestrians wala ndege inayopita juu ya hiyo structure...
Back
Top Bottom