Recent content by Red sky

  1. Red sky

    Lissu akiondoka Chadema, hakuna Mwana-Chadema ataondoka kwenye chama kumfuata Lissu

    Lissu mwenyewe kakwambia ashindwe kwa zengwe au kwakawaida hatahama.
  2. Red sky

    Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

    Kama idadi ni wanachama 5,000,000 basi hiki nichama kinacho weaza kujindesha vizuli kama kikipata uongozi unaoaminika kwa wanachama kwani endapo nusu ya wanachama watachangia kiwango cha chini cha kadi yani tsh 2500 kwa mwaka zitapatikana zaidi ya bilion 6.2 kwa mwaka kiasi ambacho nikikubwa sana.
  3. Red sky

    Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

    Ndomana nimesema watu wengi hawalipi au kutoa michango kutokana nakutokua nauaminifu na viongozi wao na ndomana mabadiliko yanahitajika .
  4. Red sky

    Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

    Hua nina lipia ada ya kadi yangu kila mwaka kama ambavyo ntaendelea
  5. Red sky

    Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

    Nimemsikia mjumbe wa kamatikuu Ya Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) Na mwenyekiti wa kanda ya Victoria, Mh Ezekiel Wenje akiwa Wasafi kwenye kile kipindi kinacho muogopa Tundu Lisu, akijalibu kuhadaa wananchi kua Chadema hawana pesa zakutosha kuendesha shughuli zao za kisiasa nchi...
  6. Red sky

    Mbowe, kwa maslahi ya Chama na Taifa kwa Ujumla Fuata ushauri wa Familia

    Nikiwa kama mfatiliaji mkubwa wa mambo ya kisiasa nchini ningepeda pia nitoe ushauli kwa Mwenyekiti CHADEMA Tanzania Mh Freeman Mboe, huu ndo wakati sahihi wakupumzika majukumu makubwa ya uenyekiti. Ikumbukwe mpaka sasa wewe ndo Kiongozi bola zaidi wa nafasi hiyo kwa vyama vyaupinzani...
  7. Red sky

    Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

    Kwa tukio hili, kwa nchi hii, na kwa Police hawa nani wakutoa taalifa?
  8. Red sky

    Kuzuia mikutano ya CHADEMA, ni dharau dhidi ya Rais?

    Kuelekea Siku ya vijana Duniani Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kufanya mkutano mkubwa Jijini Mbeya, katika hali ya kushangaza Jeshi la Polisi Nchini limetangaza kuzuia Mkutano huuo Ambapo wamekuja na hoja dhaifu kua matamko ya viongozi yanaleta taharuki. Pia...
  9. Red sky

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Naona mleta habali anataka kumaanisha Udini.
  10. Red sky

    Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

    Ndugu zetu Waislamu mmekua hameleki hasa na mafunzo ya hao vijana katika maeneo mengi wenye umli wakua shuleni wamekua wakikusanywa na kupewa hayo mafunzo sasa sijui yanawasaidia nini nivema mnge waacha watoto hao wakapata masomo na kujitengenezea maisha, Niliwaona vijana kama hao msikiti wa...
  11. Red sky

    Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

    Kwa mahakama hizi za kupokea maelekezo hakuna la maana litakalofanyika, na hii inakuwa inawakatisha tamaa Police yaani wao wanawakamata watuhumiwa halafu mahakimu ndo wanapokea pesa na kujaza mitumbo yao, lakini pia hata kipindi hiki cha utawala wa mwanamke, wanawke bado waendelee kunyanyasika?
Back
Top Bottom