Recent content by Red pen

  1. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Ndo hapo Sasa! Hadi nikamuuliza Kwan hauna wateja wengine?
  2. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Ndo hapo Sasa! Hadi nikamuuliza Kwan hauna wateja wengine?
  3. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Yes! Nahisi kichwa kuuma wadau Hela ngumu, Kila evidence zipo Hadi sauti zake tulivyokuwa tukiwasilana meseji n.k nilimpatia Fb kwenye grup la Tunduma vitenge
  4. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Yes! Nahisi kichwa kuuma wadau Hela ngumu, Kila evidence zipo Hadi sauti zake tulivyokuwa tukiwasilana meseji n.k nilimpatia Fb kwenye grup la Tunduma vitenge
  5. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Huyu sister Kwa jinsi nilivyompata ilikuwa anaamasisha watu wasimtumie mtu Fulani aliyekuwa anatapeli watu huko Tunduma akawa anadai hata nae anauza ila si Kwa Bei hizo. Basi nikamuona ni mtu mwaminifu, na akawa anadai huyo sister mwingine alikwenda kwake kama mteja na alipomtumia picha za...
  6. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Ni katka utafutaji hapa! Msaada wa kisheria pengine nifanyeje?
  7. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    def_xcode msaada please! Asante
  8. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Chance ndoto naweza pata msaada wowote wa kisheria labda mamlaka ya mawasiliano au vipi maana Yuko hewan sio kwamba kaniblock, au police nifanyeje?
  9. R

    Naomba ushauri kwenye sakata hili

    Salaam, Mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo wa vitenge hasa kutoka Tunduma, katika kuhangaika wa kunifungia mzigo nishajikusanya nikaanza kufanya utafiti nikakutana na sister mmoja anasema yupo Kigoma anaweza kunifungia mzigo Kwa uaminifu mkubwa ila yeye hayuko Tunduma. Basi, nikaanza...
  10. R

    Ubalozi wa Marekani: Tumesikitishwa na ukiukwaji uliojitokeza kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania

    Kama Tanzania wamegomea vibali kwa mashirika mengine yanayojihusisha na haki za binadamu, demokrasia watanzania tutakuwa na hali ngumu kisiasa na kiuchumi lakini pia kunaeza kuleta machafuko kwa kukosekana amani nchini mwetu. Tanzania ni democratic country hivyo inatakiwa ifate misingi mikuu ya...
Back
Top Bottom