Yes! Nahisi kichwa kuuma wadau Hela ngumu, Kila evidence zipo Hadi sauti zake tulivyokuwa tukiwasilana meseji n.k nilimpatia Fb kwenye grup la Tunduma vitenge
Yes! Nahisi kichwa kuuma wadau Hela ngumu, Kila evidence zipo Hadi sauti zake tulivyokuwa tukiwasilana meseji n.k nilimpatia Fb kwenye grup la Tunduma vitenge
Huyu sister Kwa jinsi nilivyompata ilikuwa anaamasisha watu wasimtumie mtu Fulani aliyekuwa anatapeli watu huko Tunduma akawa anadai hata nae anauza ila si Kwa Bei hizo. Basi nikamuona ni mtu mwaminifu, na akawa anadai huyo sister mwingine alikwenda kwake kama mteja na alipomtumia picha za...
Salaam,
Mimi ni mjasiriamali mdogo mdogo wa vitenge hasa kutoka Tunduma, katika kuhangaika wa kunifungia mzigo nishajikusanya nikaanza kufanya utafiti nikakutana na sister mmoja anasema yupo Kigoma anaweza kunifungia mzigo Kwa uaminifu mkubwa ila yeye hayuko Tunduma.
Basi, nikaanza...
Kama Tanzania wamegomea vibali kwa mashirika mengine yanayojihusisha na haki za binadamu, demokrasia watanzania tutakuwa na hali ngumu kisiasa na kiuchumi lakini pia kunaeza kuleta machafuko kwa kukosekana amani nchini mwetu. Tanzania ni democratic country hivyo inatakiwa ifate misingi mikuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.