Recent content by red carpet

  1. R

    Vita dhidi ya Rais Samia ni personal issue. Haina mashiko yoyote, Mtanzania usiingie mkenge

    Nimepoteza muda wangu kufungua huu uzi ila nimeona pumba juujuu nikaishia hapo.
  2. R

    Tundu Lissu Kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

    Mbona hujataja muda wala saa?
  3. R

    Tundu Lissu Kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

    Wasiojulikana wakijiliwaza kuwa hawatajulikana. Kuwa mpole jina lako litakuwa wazi muda wowote Watanzania wakufahamu
  4. R

    PreGE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

    Dah! Hiyo kaicheza vizuri
  5. R

    Tetesi: MAANDAMANO 23/09: Viongozi 23 wa CHADEMA Kata ya Bunju wamekamatwa na jeshi la polisi wakiwa kikao cha ndani

    Hivi ni kweli hata kama hazitoshi unasapoti wasiojulikana waendelee kuwachukua Watanzania wenzetu hata kama tumbo lako linashibishwa na wasiojulikana?
  6. R

    Mbowe: Mkisikia nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi. Ninyi songeni mbele"

    Wewe Bibi kizee ndo mmoja wa wanufaika wa WASIOJULIKANA?
  7. R

    Simba ikishinda Leo dhidi ya Al ahly tripoli nipigwe ban

    Mods mko wp? Piga ban mtu. Mtoto kalilia wembe
  8. R

    Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

    Kauli mbiu inapaswa kuwa "nilinde nami nikulinde dhidi ya wasiojulikana" kila mtu awe tayari kwa lolote.
  9. R

    PreGE2025 Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana kufanya mkutano kwa siku 2. Itajadili hali ya usalama nchini

    Nitarejea kujua yaliyojiri. Mungu awatangulie katika kujadili kwao
  10. R

    Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

    Kwa nchi inavyojiendea unashangaa hata Tlaatlaah ana nafasi ya uongozi. Kwanini watu wasipotee? Ila watu kama hawa tulizaliwa nao, tulisoma nao, tunacheka nao. Ni walewale wa kujipendekeza. Unakuta jibaba marafiki zake wote Ni wanawake, hawezi kutofautisha jema au baya.
Back
Top Bottom