Badala ya kulaani na kulaani na kulaani, Wamshauri Mbowe aachane na ugaidi. Nchi ibaki salama wapinzani wafanye siasa katika nchi yenye amani.
Kumruhusu Mbowe kuigeuzi Tanzania kama Somalia haikubaliki
Wanabodi,
Kama watanzania tunapitia katika changamoto nyingi lakini kubwa tatu.
Wakati bado serikali halijapatia ufumbuzi malalamiko kuhusu Tozo ya Miamala ambayo bado imekuwa kero kwa wananchi, likaibuka suala la kukamatwa Mbowe anayetuhumiwa kwa makosa ya kupanga ugaidi.
Wakati hili la...
Mbowe akiachana na ugaidi akafuata sheria kufanya siasa atakuwa sehemu ya usalama wa nchi. Mwambieni mabeberu wanaomsapoti kufanya ugaidi watampoteza. Aachane na ugaidi
Utajuaje kwamba siyo Gaidi? Unataka mpaka aanze kulipua mabomu ndiyo ujue alikuwa Gaidi?
Hebu tuwe watulivu kipindi kesi ipo mahakamani. Mahakama ndiyo chombo pekee itakayotoa maamuzi ya ama ni gaidi, ama siyo gaidi.
Ila mwambieni kaka aachane kabisa na tabia za ugaidi, ama zinazoashiria...
Chanjo ya Johnson and Johnson iliyopingwa Marekani na Ulaya kwa damu kuganda tumeletewa Tanzania. Tuchomwe tu maana damu zetu sisi weusi haina mfumo wa kuganda. Hata tukifa poa tu kwani nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.