Hyo nayo inayegemea .... kama vinaendelea kuwasiliana ina maana mahusiano/urafiki upo.
Wengine hapa tuna zaidi ya mwaka kitanda kimoja lkn hata hakuna mwenye hamu na mwenzie. Jaribu kufikiria kwa karibu .... mwanaume gani anaweza kuishi na mke wake kama dada yake?
Mpka hapo ndoa hyo imekufa...
Ni kweli kabisa, hakuna tatizo lolote. Mie mwenyewe nijionea. Hvyo Nakuunga Mkono.
Tendo la Ndoa ni tendo linalo hitaji heshima na lina taratibu zake.
Wanaokwenda hovyo hata afya zao utaziona na maendeleo kwao ni ndoto.
Sanasana utajivunjia heshma mitaan na kwa watu wakaribu yako kwa wanao...
Ni kweli kaka .... mie nipo kwenye Ndoa ya Kanisani na hilo tatizo limenitokea na bado linaendelea...hzo ndoa kwa sasa ni Usaniiii tuuuu ... hakuna kitu cha muhimu kinachoendelea
Huyo UZINZI unamsumbua .... hyo sababu c ya muhimu. Kiapo kinasema hv 'HADI KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA" kwenye shida na raha.
Kanisani wanaweza kutenganisha iwapo cku ya kwanza mnapo lala pamoja Jogoo hawiki hyo ndoa ni Batili. Lkn tatizo linapokuja baadaye ... Uvumilivu unahitajika.
Inaonyesha...
Hapo usijisumbue kitu....Mungu kesha kuonyesha huyo hafai.
Tabia ni sawa na rangi ya ngozi haibadiliki.....hata ufanyeje ...atatulia kwa muda then atarudia yaleyale.
Mimi ni mtu mzima, nina yaandika haya kwa mifano Halisi.
ACHANA NAYE
Yaani pole sana kwa yaliyokukuta. Na hongera kwa kuweza kuyashinda.
Nimekupe saaana kwa jitihada zako...Mungu azidi kukubariki.
Kwenye Kikao usiende kabisa na namba ya cm ya huyo ex mume iblock ...kama ni mawasiliano awasiliane na watoto wake tu. Kwako anatafuta nini kgeni? Ni mkatili na pia ni...
Watu wengi ndivyo wanavyojidanganya ... Kinga inatumika cku za mwanzo tuuu!!! Baada ya hapo kila mtu anajiaminisha na ndipo tatizo linapoanza.
Hongera Mzee umeonyesha ni jinsi gani ulivyo shujaaaa ... kwa kuwa unakwenda na wakati .... hvyo Mchupuko anageuka kuwa njua Njia Kuuu .... sasa cjui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.