Habari za mwaka mpya wapendwa,,,
Nina laini ya vodacom ambayo nikiiweka kwenye smartphone yoyote huwezi kumpigia mtu,,, maana nishajaribu kuiweka kwenye smartphone aina nyingi lakini tatizo lipo pale pale.
Yani nikijaribu kupiga haichukui hata sekunde inajikata yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.