Habari wana JamiiForums.
Nimekwama kidogo kuconfigure java development kit kwenye machine.Tiyari nimesha install na kupitia cmd imeniakikishia kwamba ipo.
Tatizo ni kwamba nikitaka ku i run inakataa.
Asanteni.
Asante kwa ushauri DR MANJALA
Hii siyo GPA(grade point average)
Ni CGPA(Commulative grade point average) ambayo inapatikana baada ya kutafuta wastani(average) ya semester zote nilizosoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.