Watanzania tumekuwa tukilia kila uchwao kuhakikisha nchi yetu Tanzania inapata kiongozi bora, asiyependa rushwa, makini katika usimamiaji wa haki, mwenye kuheshimu kila mtu, mtu wa maadili, mpenda watu hasa wanyonge/wasiojiweza, msimizi mzuri wa sheria/katiba, msimamizi wa rasilimali na sifa...