Recent content by Ray Reddington

  1. R

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Ngoja hiyo kesho uone...but nadhani tamko lake kuhusu hayo Magazeti mlimsikia
  2. R

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Hivi wewe, Manji niwakutafuta sifa kweye media!! Ujielewei wewe
  3. R

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    What else were you expecting him to do! Himself he is a brand, and as a brand he is obligated to respond in any negative claims. So i would say thus a proactive act he did
  4. R

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Mkakati wa UKAWA. Wamepanga kufanya vurugu baada ya kushindwa na kutengeneza mgogoro ili Jumuiya ya Kimataifa iingilie kati na kupendekeza kugawana madaraka. Tunaviomba vyombo vya ulinzi na usalama vizuie hili jambo kwa sababu halina nia njema,hawatafanikiwa,tunaviomba vyombo ya ulinzi &...
  5. R

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Wewe ndo umechelewa, so i suggest you stay aside and let people who are more wiser than you asikilize.
  6. R

    Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

    Mimi sijui niizungumziaje hali halisi inayoendelea mitandaoni but kuhusu mama regina bana mh' unajua kila mtu either mtu mzima au kijana tunatabia zetu binafsi regarding maisha yetu ta kila siku kwa ujumla, watu tunao kaa nao, mambo tunayofanya nao, yanapelekea au yanachangia sana on how they...
  7. R

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Mimi kusema vile, ile ilikuwa lugha ya maafa tu ambayo mtu kama huyo akipambana na polisi lazima yatamkuta majanga kama haya..
  8. R

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Unaona kama huyo, kijana mdogo tu, mfuasi wa ukawa..kakamatwa leo anapanga kwenye begi, hilo la nini sasa kam sio amepanga kumjeruhi mtu..
  9. R

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    hahaa..hili likichwa langu sio..well ni ushauri tu nimetoa na kusema kwamba mtu kuvunjwa mguu au kutolea jicho ile ilikuwa lugha ya maafa ambayo mtanzania anaweza akaipata endapo pale amani ikipotea nchini..usisem nawaza upumbavu kwasababu tushaona jinsi watu wanavyotenguliwa viungo vyao kwa...
  10. R

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    KULINDA KURA NI KAZI YA WAKALA. Unakaa mita 200 unalinda kura, ndani wakala wako anakubaliana na matokeo,alafu wewe mwananchi unayapinga na unaandamana, polisi wanatii amri ya mkuu wa majeshi, unavunjwa mguu na kutolewa jicho, unaswekwa rumande na sio hospitali,watoto na mke wako unawaacha...
Back
Top Bottom