Bora hata hakumfundisha maana kwa Jinsi Lissu alivyo angelishwa Matango pori na kuja kututapikia humu mpaka. Heri aliyemfundisha Lissu maana kwa sasa anatapika vitu adimu bila woga!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hopeless kweli. Iende na Heathrow kule airport runway itapigwa deki kuipokea ATCL yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Wakenya hawana machozi ya kufurahia ATCL? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tena Wakenya wataiosha na sabuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuende na Nairobi ambapo wanatusubiri kwa hamu. Na wanapanga mkesha mkubwa ambao haijawahi kutokea kuipokea ndege yetu ya ATCL
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mleta mada ame declare interest kwamba yeye ni CHADEMA? Je kama yeye ni CCM? Ni vema tukajadili hoja na sio kukimbilia vitu vilivyo nje ya mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mshapata picha kama ingekuwa ni sisi ndo tunarusha hiyo roketi mgeni rasmi angekuwa nani na angefanya nini kwenye event hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiwa mwanafunzi wa wahadhiri au maprofesa wa design hii unajisikia je? Maana mtu anaingia class anakufundisha na kukusahihishia mtihani ishu A halafu kwenye vitendo anafanya vingine kabisa kisa Njaa.
Huyo unaomtetea ndo hovyo kabisa kwa sababu anakiri kuwa kuna kitu kingine anachokiamini lakini hakisimamii kwa makusudi kabisa. Hivi ni msomi wa namna gani anayeweza kufanya upumbavu wa namna hiyo? Kwenye BREXIT tuliona waziri Mkuu anaachia madaraka kwa sababu alikuwa haamini kama BREXIT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.