Unm
Kuishi milele ukiwa hujui kama ni wewe haina maana yoyote , ni sawa na mtu yupo kwenye koma tu, kabla sijabisha au kutaka kujua huyo anayekupa adhabu naomba niulize baadhi ya maswali na unijubu kama think tank kweli.
1. Je anayetoa adhabu au zawadi ni nani?, kama ni Mungu je ni wa aina gani...
Part kubwa ya huu uzi ulijibiwa na watu ambao hawapo kwenye game, mtaji wa million 10 kwa uwakala wa mpesa, tigo pesa na hizo bank ni kukurupuka, biashara hii unashauriwa kuanza kidogo ukipma upepo then unatanua misuli mbele baada ya kuelewa mzunguko.
Tangu World War I mpaka leo ni miaka 110 so wewe ulirudi before 100 au unapost hapa ukiwa na miaka 10 pekee, alafu pia mtoa mada kasema ni roho sio mwili.
Mwandishi kasema inarudi kwa mwanadamu mwingine sio mnyama tofauti. Kwahiyo hapa teyari wewe ushaleta theory ingine ya kuongea na watu , congratulations.
Sijaanza kusoma huu uzi leo, wewe ndo umemix madesa. Yaani kwa kifupi unapata ugumu kucatch concept kwa urahisi hivyo tu.Anyways tuendelee kufatilia uzi , sitaki sana kubishana nipo hapa kujifunza maana ndo nimeanza hizo mishe.
Mzee darasani ulikuwa unapata ngapi? Ni mgumu sana kuelewa hata concept rahisi hivi. Hajasema hiyo estimate ya kuanza ni ya jumla anazungumzia how unaweza kuanza kwa hiyo 500k just to take off.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.