Sekta ya habari na mawasiliano ni sekta muhimu sana katika taifa lolote linalohitaji maendeleo. Kwa kuwa sekta hii inahusisha kukusanya taarifa mbalimbali,kuzichakata na kuzihariri na baadaye kuzitoa kwa watu(jamii) juu ya matukio mbalimbali. Mwandishi wa habari ni mtu anayefanya majukumu hayo...
Kukwama na kusuasua kwa maendeleo ya Tanzania yanaweza yakawa yameshikiliwa na mambo machache ambayo kama yakibadilishwa yanaweza kuchochea mabadiliko ya kimaendeleo ya kasi sana.Nchi ni mali ya watu wote kila kiongozi na raia atambue wajibu wake na kutekeleza kikamilifu. Maamuzi magumu...
Mabadiliko yoyote ili yatokee ni lazima kuwe na mchakato maalumu wa kuleta hayo mabadiliko. Taifa ili kujikwamua kutoka hali duni kuwa taifa linaloendelea au lililopiga hatua katika nyanja mbalimbali lazima ufanyike mchakato wa maalumu wa kuleta mabadiliko yanayotakiwa.
Viongozi na raia mijini...
Kipaumbele ni kitu kinachoweza kupendekezwa kama muhimu zaidi kukitekeleza au kukifanyia kazi mapema zaidi kuliko kingine.
Vipaumbele vya serikali ni yale mambo au maeneo muhimu serikali iyazingatie zaidi hasa katika bajeti na utendaji ili yaweze kuyainua mengine.
Malengo makubwa huhitaji...
Kijana ni umri wa ukuaji wa mwanadamu unaokadiliwa ni kuanzia miaka 16-45.Huu ni umri ambao mwanadamu huwa anakuwa na uwezo zaidi wa mambo mbalimbali ukilinganisha na umri aliotoka nyuma yake yaani utoto na ule auendeao yaani uzee. (Ikumbukwe kijana inamhusisha yule wa kiume au mwanaume na wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.