Mm nimamaliza shule 1984 kiapo hicho nakisikia kwako acheni hoja dhaifu na kejeri kwenye mambo ya msingi.walioba aliapa wakat anaingia kushika uwaziri mkuu maja ya maneno yake atairinda katiba ya jamhur ya muungano pamoja na kiapo hicho bado yeye kafanikiwa kuungoza jopo la kun,goa mfumo alio...
Acha pumba hizo unajua kilicho mtoa kigoma malima? Ngoja nikukumbushe alitoa majina akaweka namba nan alifanya vizur maneno yenu ya kijinga haya yatakuja kuwatokea puan
Hongera kwa waliobuni mkakati juu maana kwa hali ilivyokuwa isingekuwa rahisi kubadirisha chadema kuwa katika demokrsia ya kweli maana waazilishi walikua na malengo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.