Walete msaada mwingine lakini si kwa namna hiyo kwani chakula tunacho cha kutosha na hatujawaomba msaada wa namna hiyo.
Waziri kafanya jambo zuri kuukataa msaada huyo . Wasije wakatuchanganyia na virutubisho vya ushoga.
Unatakiwa uelewe pia mfamasia haruhusiwi kumpa mgonjwa dawa bila cheti cha daktari. Lakini imekuwa ni kasumba ya wafamasia wengi kutoa dawa bila prescriptions toka kwa daktari jambo ambalo ni makosa
kiafya na kitaaluma.
Rai kuu ya Koboko ni Mfamasia hapaswi kutoa dawa moja kwa moja Kwa mgonjwa...
Sio Kila lifanywalo na Muislam ni sahihi katika uislam. Jifunze kutofautisha kati ya mtu anaitwa Muislam na Uislam.
Uislamu ni dini sahihi Kwa watu sahihi, si Kila litendwalo na mtu anaeitwa Muislam ni Uislam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.