Recent content by Raqeeb

  1. R

    Nahitaji kiwanja

    Hiiii guyz nahitaji kiwanja cha kununua cash maeneo ya chanika kiwe tambarare ukubwa wa 40*40
  2. R

    Kuripoti kazini

    Mkuu hilo tatizo lipo kwa halmashauri nyingi ila kiukweli kabisa unatakiwa ukisha report ujaze form zao ili uwekwe kwenye LAWSON then uombe siku 14 za kujiandaa urudi kazini na mara nyingi halmashauri zinatoa pesa ya kujikimu ukiwa umerudi baada ya zile siku 14 Ushauri wangu jitahidi...
  3. R

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Hakuna kitu kama hicho kaka ukifanikiwa kupita oral marks zako za written zimeishia pale pale tu oral unaanza mtanange upya ni kukomaa tu
  4. R

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Tukisema hivyo pia tuangalie upande mwingine mkuu tulifanya pepar ya NAO na tuliitwa oral zaidi ya 300 nafasi zilikua 100 tu lakini tulijiuliza mbona watu wengi sana na nafasi hizi kumbe UTUMISHI waliamua hivyo kumbe kulikua na nafasi za wizara ya fedha na wilayani lakini watu hawakujua nahisi...
  5. R

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Kwanza mkuu ishu ya GPA ondoa kabisa na mtu asitegemee kama ana 1st class yake atapata kazi kirahisi kwani GPA ngapi za vyuo tofauti tunajua zinatoka tu kiholela holela mimi hapa nawapongeza sana UTUMISHI ita wote wenye degree hakuna cha GPA wala nini then wapambanishe kwenye interview uone nani...
  6. R

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Mkuu siyo lazima ukiwa kwenye database ya Utumishi unapata kazi coz database yao ni within 6months kama haijatokea nafasi kwenye hiyo kada database inafutwa na kuanza upya ila tu chamsingi ni kukomaa sana upate tu maana wote wenye 50% and above wanakaa kwenye database sasa huwezi jua kama mko...
  7. R

    Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Hilo ni kweli mkuu ila kwaupande mwingine nahisi kama nikosa na candidates coz always utumishi maswali yao kwenye oral yanafanana kwa nyote mnaofanya oral wakati ule kwenye kada husika inategemea na jopo lako ulilopangiwa na ndio maana wana chukua simu na kuzizima ili mtu ukishatoka kwenye...
  8. R

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    Huko kwenye senior procurement sija angalia nimepitia hizo posts za kawaida (ass. Tax, ass. customs & Preventive officers)
  9. R

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    Soma vizuri basic requirements za wanaohitajika kuapply siyo kwenye form unayojaza ya job application au fungua kila post upate maelezo yake
  10. R

    Employment Opprotunity, TRA; Deadline 20/10/2015

    Kiufupi kama una postgraduate una weza ku apply ila pass degree na lower second ni ishu kabisa!
  11. R

    Barua za kupangiwa kituo cha kazi

    Nenda UTUMISHI 2nd floor pale utaipata kuna wakati flani niliifuata yangu nlimuuliza sister mmoja pale akaniambia hawazipeleki posta kwanza kwasababu candidates ni wasumbufu ukituma posta wanazifuata pale ndio maana wanaanza pale then wana peleka posta kwahiyo mkuu ifuate pale tu bora...
  12. R

    Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015

    Mbona inasikktisha sana kwakweli na hawa jamaa nina hofu nao sana kwenye placement wanachomekea watu wao sehemu nzuri
  13. R

    Kuitwa kwenye usaili Sekretarieti ya Ajira, Oktoba 2015

    Swali zuri ngoja wakuu waje na majibu!
  14. R

    Nafasi za Kazi Benki Kuu ya Tanzania

    kuomba tutaomba hatukomi ila kwenye jambo lazima tujadili zile nafasi za majuzi vipi wadau (bank officers) au ndiyo funika kombe mwanaharamu apite wameshapeana!!!
  15. R

    Kuitwa kwenye usaili Sekretarieti ya Ajira, Oktoba 2015

    Hahaha... inawezekana ndio mara yake ya kwanza kufanya usahili utumishi
Back
Top Bottom