Huyu kingunge kwanza afya yake mgogoro kwa uzee hiv kwel ataweza kukaa muda wote wa bunge akiwa imara kufatilia mambo na hoja imara za kulipeleka taifa hatua nyingine ya kupata katiba mpya? Ni afadhali angepewa ile shuhuli yake ya awali ya"MSHAURI WA RAIS" kuliko ktka bunge la katiba. Hata hao...
Tangu saa mbili asubuh leo nipo hapa mbez kituon hamna daladala inayokuja kwenda mjin na ikija inapitia njia ya goba nauli sh.2000. Namuunga mkono mtoa mada Lorin kwamba kukaa mbezi kimara ni laana tena laana kumu.
Mbezi ukiwa kapuku kama mimi mji unazidi kuuona mchungu maanake licha ya kero...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.