Sipati shaka kwa udhaniavyo,kama ni muangaliaji wa mpira lazma mtu akuelewe na akubali,ingawa nilitamani ungeichambua na match ya Simba na Tabora ya mwisho ili kutoa double standard,cha muhimu wapenzi wa football tujue uyanga na usimba kuna muda unashusha quality ya soka letu.
Panga maisha yako vizuri,fanya maamuzi sahihi muda sahihi,pia tuliza sana akili,maisha hayaamuliwi na kigezo cha dini pekee that's why walioleta dini ndio walikuwa wa kwanza kujenga shule.
KAMA STORY YAKO NI KWELI BASI BADILI MFUMO WA MAISHA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.